
MKOPO WA MAENDELEO
Mkopo wa Maendeleo ni huduma maalum inayolenga kuwasaidia wajasiriamali, wafanyabiashara na vikundi vya kijamii kufanikisha malengo yao ya kupanua, kuimarisha au kuanzisha miradi mipya ya kiuchumi
Kiwango cha juu shs. 50,000,000/=
Vigezo na masharti kuzingatiwa, soma zaidi hapa..
Muda wa juu wa marejesho ni miezi 36
Vigezo na masharti kuzingatiwa, soma zaidi hapa..
